Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Hesabu 9:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

15 Siku ambayo hema takatifu lilisimikwa, wingu likashuka na kufunika hema la kuchunga vibao vya agano. Wakati wa usiku wingu hilo lilionekana kama moto mpaka asubui.

Gade chapit la Kopi




Hesabu 9:15
21 Referans Kwoze  

Muchana, Yawe aliwatangulia katika munara wa wingu kwa kuwaonyesha njia. Na usiku aliwatangulia katika munara wa moto kuwaangazia, kusudi waweze kusafiri muchana na usiku.


Kisha, lile wingu likafunika lile hema la mukutano na utukufu wa Yawe ukajaza hema.


Muchana aliwaongoza kwa wingu; usiku kucha kwa mwangaza wa moto.


lakini wewe kwa rehema zako nyingi haukuwatupilia kule katika jangwa. Nguzo la wingu lililowaongoza muchana, wala nguzo la moto lililowaangazia katika njia usiku, havikuondoka.


Wandugu zangu, ninataka mukumbuke kwamba babu zetu wote walisafiri wakiongozwa na wingu, nao wote walivuka katikati ya bahari Nyekundu kwa usalama.


Halafu, kila pahali juu ya mulima Sayuni na juu ya mikutano ya watu atafanya kuwe wingu wakati wa muchana, na moshi na moto unaowaka vizuri wakati wa usiku. Zaidi ya hayo utukufu wa Mungu utaufunika na kuulinda muji wote.


Mungu alitandaza wingu juu ya watu wake, na moto kusudi uwaangazie usiku.


Muchana uliwaongoza kwa nguzo la wingu, na usiku uliwaongoza kwa nguzo la moto kwa kuwaangazia njia ya kufuata.


watawapasha wakaaji wa inchi habari hii. Maana watu hawa wamekwisha kupata habari kwamba wewe, ee Yawe, uko pamoja nasi; maana wewe, ee Yawe, unaonekana waziwazi wingu lako linaposimama juu yetu, na kwamba wewe unatutangulia muchana kwa nguzo ya wingu na usiku kwa nguzo ya moto.


Katika safari zao zote, Waisraeli waliweza kuliona lile wingu la Yawe juu ya hema wakati wa muchana na ule moto ukiwaka juu yake usiku.


Katika siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza, utasimika hema takatifu la mukutano.


Karibu na mapambazuko, Yawe akaangalia jeshi la Wamisri kutoka katika ule munara wa moto na ule munara wa wingu, akalitia hofu kubwa.


Munara wa wingu wakati wa muchana na munara wa moto wakati wa usiku haikukosekana kuwatangulia Waisraeli.


Kila mara waliposafiri kutoka kambi moja mpaka ingine, wingu la Yawe lilikuwa juu yao muchana.


Walipokusanyika mbele ya Musa na Haruni kwa kutoa malalamiko yao, wakageuka kuelekea hema la mukutano, wakaona kwamba wingu limeifunika hema na utukufu wa Yawe ulikuwa umetokea pale.


ambaye aliwatangulia katika njia na kuwatafutia pahali pa kupiga kambi zenu. Usiku aliwatangulia kwa moto na muchana kwa wingu, kwa kuwaonyesha njia.


Musa akashindwa kuingia ndani ya hema la mukutano kwa sababu hilo wingu lilikaa juu yake na utukufu wa Yawe ukajaa mule.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite