Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Hesabu 8:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Haruni akatii maagizo hayo, akaweka taa hizo kusudi ziangaze upande wa mbele wa kinara, kama vile Yawe alivyomwamuru Musa.

Gade chapit la Kopi




Hesabu 8:3
5 Referans Kwoze  

Hakuna mutu anayewakisha taa na kuiweka chini ya kitunga, lakini anaiweka juu ya kinara kusudi iwaangazie wote wanaokuwa ndani ya nyumba.


Umwambie Haruni kwamba wakati atakapoweka zile taa saba kwenye kinara, azipange kusudi ziangaze upande wa mbele wa kinara hicho.


Toka sehemu za juu mpaka chini kinara hicho cha taa kilikuwa kimetengenezwa kwa ufundi mukubwa kwa zahabu iliyofuliwa kufuatana na mufano ambao Yawe alikuwa amemwonyesha Musa.


kinara cha taa cha zahabu safi, taa zake, vyombo vyake vyote pamoja na mafuta kwa ajili ya taa hizo;


Mule, mbele ya Yawe, akawasha taa zake, kama vile alivyoamuriwa na Yawe.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite