5 Pokea matoleo haya kusudi yatumiwe katika kazi itakayofanywa kwa ajili ya hema la mukutano, uwape Walawi, kila mumoja kwa kadiri ya kazi yake.
Neno hilo ni la kuaminiwa. Ninataka uyatilie maneno hayo mukazo, kusudi watu walioamini Mungu wajitolee kwa kuzidi kutenda mema. Jambo hilo ni zuri na lenye mafaa kwa watu.
Yawe akamwambia Musa:
Basi, Musa akatwaa magari na ngombe dume akawapa Walawi.