Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Hesabu 7:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Viongozi wa Israeli na wakubwa wa ukoo na viongozi wa makabila ambao walisimamia watu wale waliohesabiwa,

Gade chapit la Kopi




Hesabu 7:2
11 Referans Kwoze  

Nao wakubwa wake, kwa mapenzi yao, waliwapa watu, makuhani na Walawi. Hilkia, Zakaria na Yehieli, wasimamizi wa nyumba ya Mungu, waliwapa makuhani wana-kondoo na wana-mbuzi elfu mbili mia sita na ngombe dume mia tatu kwa ajili ya sadaka za Pasaka.


Viongozi walileta mawe ya rangi na mawe mengine kwa ajili ya kizibao na kifuko cha kifua.


Basi, Musa akawaambia Waisraeli kila kitu kama vile Yawe alivyomwamuru.


Basi, mufalme Solomono akawakusanya mbele yake kule Yerusalema wazee na viongozi wote wa makabila na wa ukoo za Waisraeli kusudi waliondoe Sanduku la Agano la Yawe katika muji wa Daudi, ni kusema Sayuni.


Musa na kuhani Eleazari wakapokea vitu vyote vilivyopambwa kwa zahabu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite