Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Hesabu 7:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Siku Musa alipomaliza kusimamisha hema takatifu, akalimiminia mafuta na kulitakasa pamoja na vyombo vyake vyote. Akamiminia mazabahu mafuta na kuitakasa pamoja na vyombo vyake vyote.

Gade chapit la Kopi




Hesabu 7:1
15 Referans Kwoze  

Jumla ya matoleo ya sadaka za viongozi wa Israeli kwa ajili ya mazabahu siku ilipotakaswa ilikuwa: sahani za feza kumi na mbili, beseni za feza kumi na mbili, na visahani vya zahabu kumi na viwili.


Ninyi vipofu! Ni nini inayokuwa kubwa zaidi, sadaka au mazabahu ndiyo inayoifanya sadaka ile ihesabiwe kuwa takatifu?


Siku hiyohiyo, mufalme aliizindua sehemu ya katikati ya uwanja uliokuwa mbele ya nyumba ya Yawe, maana ni pale ndipo alipotolea sadaka za kuteketezwa, sadaka za ngano, na mafuta ya sadaka za amani, kwa sababu ile mazabahu ya shaba haikutosha kwa sadaka hizo zote.


na kwa ajili ya sadaka ya amani, jumla ya nyama waliotolewa ilikuwa ngombe dume makumi mbili na wane, kondoo dume makumi sita, beberu makumi sita, na wana-kondoo dume wa mwaka mumoja makumi sita. Hiyo ndiyo iliyokuwa sadaka iliyotolewa kwa ajili ya mazabahu, kisha mazabahu hayo kupakwa mafuta.


“Unitakasie wazaliwa wote wa kwanza, maana wazaliwa wote wa kwanza wa Waisraeli ni wangu, ikuwe wanaume au wanyama.”


Mungu akaibariki siku ya saba na kuitakasa, maana kwa siku hiyo Mungu alipumzika kisha kazi yake yote ya kuumba.


Viongozi hao wakatoa sadaka kwa ajili ya kuitakasa mazabahu siku ile ilipopakwa mafuta; walitoa sadaka zao mbele ya mazabahu.


na kila siku utatoa ngombe dume akuwe sadaka ya maondoleo ya zambi kwa kufanya upatanisho. Kwa kufanya hivyo utasafisha mazabahu, kisha utaimiminia mafuta kwa kuitakasa.


Birika la kunawia na tako lake vilevile utalitakasa kwa namna hiyohiyo.


Umwambie Eleazari mwana wa kuhani Haruni atoe hivyo vyetezo kwenye moto, atupe mbali moto unaokuwa ndani, maana vyetezo hivyo ni vitakatifu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite