Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Hesabu 6:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

13 Hii ndiyo sheria ya munaziri wakati akisha kamilisha muda wake wa kujitakasa: Ataletwa kwenye mulango wa hema la mukutano,

Gade chapit la Kopi




Hesabu 6:13
4 Referans Kwoze  

Halafu kesho yake Paulo akaenda na wale watu wane, na akajitakasa pamoja nao. Kisha akaingia ndani ya hekalu na kutangaza wakati siku za utakaso zitakapotimia, na sadaka itakayotolewa kama malipo kwa ajili ya kila mumoja wao.


Kwa hiyo, ufanye kama hivi tunavyotaka kukuambia. Hapa tuko na watu wane waliofanya kiapo mbele ya Mungu.


Zile siku saba zilipokaribia kutimia, Wayuda wamoja waliotoka katika jimbo la Azia wakamwona Paulo ndani ya hekalu. Wao wakashawishi watu wote waliokusanyika, wakamukamata


na kujitakasa kwa Yawe kwa siku zake za kujitenga. Hizo siku za kwanza hazitahesabiwa kwa sababu nywele zake zilizokuwa zimetakaswa zimechafuka. Atatoa mwana-kondoo dume wa mwaka mumoja kuwa sadaka ya kosa.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite