Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Hesabu 5:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Uwaambie Waisraeli kwamba: Mutu yeyote, mwanaume au mwanamuke, akimukosea mwenzake, yeye anatenda zambi mbaya mbele ya Yawe.

Gade chapit la Kopi




Hesabu 5:6
7 Referans Kwoze  

Yawe akamwambia Musa:


Lakini kama hawezi kutoa mwana-kondoo wa sadaka ya kosa kwa ajili ya zambi aliyotenda, basi atamuletea Yawe hua wawili au vitoto viwili vya njiwa, mumoja kwa ajili ya sadaka ya zambi na mwingine kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa kwa moto.


Kisha Yawe akamwambia Musa:


Yoshua akamwambia Akana: “Mwana wangu, umutukuze Yawe, Mungu wa Israeli, umusifu na kisha uniambie yale uliyotenda, wala usinifiche.”


Nao wakawaendea watu wa makabila ya Rubeni, Gadi na nusu ya kabila la Manase kule Gileadi wakawaambia:


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite