Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Hesabu 5:22 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

22 Maji haya yanayoleta laana yaingie ndani ya tumbo lako na kukufanya tasa na tumbo lako livimbe. Naye mwanamuke ataitikia: Amina! Amina!

Gade chapit la Kopi




Hesabu 5:22
16 Referans Kwoze  

Kwake kulaani ni kama kuvaa nguo; basi, laana hizo zimulowanishe kama maji, zimwingie katika mifupa yake kama mafuta.


Kwa hiyo Yesu akawaambia: “Kweli, kweli, ninawaambia: musipokula mwili wa Mwana wa Mutu na kunywa damu yake, hamutakuwa na uzima ndani yenu.


Kweli, kweli ninakuambia: tunasema maneno tunayojua na kushuhudia maneno tuliyoona, lakini ninyi hamutaki kupokea ushuhuda wetu.


Yesu akamujibu: “Kweli, kweli ninakuambia: mutu hawezi kuingia katika Ufalme wa Mungu asipozaliwa mara ya pili.”


Halafu akaniambia hivi: Wewe mwanadamu, kula kizingo hiki ninachokupa, ujaze tumbo lako na kulishibisha. Basi, nikakikula, nacho kikakuwa kitamu ndani ya kinywa changu kama vile asali.


Basi, mutakula matunda ya mienendo yenu, mutageukiwa na mashauri yenu wenyewe.


Ee Yawe, ona jinsi wanavyomuzomea muchaguliwa wako. Wanamuzomea kila fasi anapokwenda.


Jina lake tukufu litukuzwe milele; utukufu wake ujae katika ulimwengu wote! Amina, Amina!


Wewe unaniimarisha katika ukamilifu; utanichunga mbele yako milele.


Akisha kunywa, kama amejichafua na hakukuwa mwaminifu kwa mume wake maji hayo yanayoleta laana yataingia ndani ya matumbotumbo yake na kuwa machungu, na tumbo lake litavimba naye atakuwa tasa. Mwanamuke huyo atakuwa laana kati ya watu wake.


Kisha kuhani ataandika laana hizi katika kitabu na kuzisafisha katika maji machungu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite