41 Hii ndiyo iliyokuwa hesabu ya watu wa jamaa za wana wa Gersoni wote waliotumika katika hema la mukutano, ambao Musa na Haruni waliwahesabu kama vile Yawe alivyowaamuru.
ilikuwa watu elfu mbili mia sita na makumi tatu.
Hesabu ya watu wa ukoo wa Merari kufuatana na jamaa zao na nyumba zao,
Basi, Musa akawahesabu kufuatana na neno la Yawe, kama vile alivyomwamuru.
Kila mumoja alipewa kazi yake ya kufanya juu ya kubeba hema la mukutano, kama vile Yawe alivyomwamuru Musa.