Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Hesabu 4:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Yawe akamwambia Musa na Haruni:

Gade chapit la Kopi




Hesabu 4:1
6 Referans Kwoze  

Tena wakati wa hema kuongolewa, Walawi ndio watakaoliongoa. Na wakati wa hema kusimikwa, Walawi ndio watakaolisimamisha. Kama mutu ambaye si Mulawi analikaribia, atauawa.


akawapa Haruni na wana wake feza hizo za malipo sawa na neno la Yawe, kama vile alivyomwamuru.


Uhesabu watu wa ukoo wa Kohati, toka katika ukoo za Lawi, kufuatana na jamaa zao na ukoo zao;


Wataweza tu kutumika katika hekalu langu kama watumishi wakilinda milango ya nyumba yangu, na kutumikia katika nyumba. Wataweza kuchinja nyama wanaotolewa na watu kwa ajili ya kutolewa sadaka za kuteketeza na kuwatumikia watu.


Lawi na wana wake: Gersoni, Kohati na Merari.


Vilevile nimemuchagua Oholiabu mwana wa Ahisamaki wa kabila la Dani, afanye kazi pamoja naye. Vilevile nimewapa uwezo mukubwa watu wengine kwa ajili ya kazi mbalimbali, kusudi watengeneze vifaa vyote nilivyoagiza vifanywe:


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite