Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Hesabu 32:42 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

42 Naye Noba akashambulia na kuteka Kenati na vijiji vyake, akauita Noba, jina lake mwenyewe.

Gade chapit la Kopi




Hesabu 32:42
3 Referans Kwoze  

Inaonekana wazi kuwa hata wenye hekima wanakufa, nao wapumbafu na wajinga vilevile. Wote wanawaachia wengine mali zao.


Abusaloma, alipokuwa angali anaishi, alikuwa amejijengea na kujisimikia nguzo inayokuwa kwenye Bonde la Mufalme, maana alisema: “Mimi sina mutoto mwanaume wa kudumisha jina langu kusudi nikumbukwe.” Nguzo hiyo aliipa jina lake, na inaitwa “Nguzo ya Abusaloma” mpaka leo.


Gideoni akafuata njia ya upande wa magaribi inayokuwa upande wa mashariki wa Noba na Yogibeha, akalishambulia jeshi hilo ambalo halikukuwa tayari.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite