Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Hesabu 30:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Ikiwa binti ataolewa kisha kufanya kiapo au kuahidi bila kufikiri vizuri kwanza,

Gade chapit la Kopi




Hesabu 30:7
7 Referans Kwoze  

Lakini kama baba yake akisikia juu ya kiapo hicho, akimupinga, basi kiapo chake au ahadi yake havitamufunga. Yawe atamusamehe kwa sababu baba yake amelipinga jambo hilo.


halafu mume wake akisikia jambo hilo naye hamupingi, muke wake atafungwa na kila kiapo au ahadi aliyofanya.


Mume wake Elekana, akamujibu: “Fanya unaloona linafaa. Ngojea mpaka utakapomwachisha mutoto kunyonya. Yawe afanye kiapo chako kuwa kweli.” Basi, Hana alibaki kwake, akaendelea kumulea mutoto wake mpaka alipomwachisha kunyonya.


Nao wanawake wakasema: Tulimufukizia malkia wa mbinguni ubani na kumutolea sadaka ya kinywaji. Tulifanya hivyo kwa ruhusa ya waume wetu. Tena tulimutengenezea mikate yenye sura yake na kumutolea sadaka ya kinywaji.


Kisha akamwambia mwanamuke: “Nitakuzidishia uchungu wa kuzaa, Utazaa watoto kwa uchungu. Utakuwa na hamu na mume wako, naye atakutawala.”


Akafanya kiapo akisema: “Ee Yawe wa majeshi, kama tu utayaangalia mateso yangu mimi mujakazi wako, ukinikumbuka mimi, bila kunisahau, mimi mujakazi wako, ukinijalia mimi mujakazi wako mutoto mwanaume, nitakupa wewe Yawe mutoto huyo akuwe wako maisha yake yote; wembe hautapita kwenye kichwa chake hata kidogo.”


Kwa mufano, mwanamuke aliyeolewa anafungwa na Sheria katika maisha yake na mume wake wakati mume wake angali muzima. Lakini kama mume wake akikufa, yeye anakuwa huru kufuatana na Sheria ile iliyomufunga.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite