Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Hesabu 30:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Kisha Musa akazungumuza na viongozi wa makabila ya Israeli, akawaambia: Hili ndilo neno lililoamriwa na Yawe:

Gade chapit la Kopi




Hesabu 30:2
36 Referans Kwoze  

Shukrani ikuwe ndiyo sadaka yako kwa Mungu. Umutimizie Mungu Mukubwa ahadi zako.


Nitamutimizia Yawe viapo vyangu, mbele ya watu wake wote.


Utamwomba naye atakusikiliza, nawe utavitimiza viapo vyako.


Kesho yake kulipokucha, Wayuda wakafanya shauri; wakafanya kiapo kwamba hawatakula wala kunywa mpaka wamwue Paulo kwanza.


Lakini wewe usikubali ombi lao, kwa sababu kuna watu zaidi ya makumi ine wanaovizia kumwua. Watu hawa wamefanya kiapo kwamba hawatakula wala kunywa mpaka wamwue Paulo kwanza.”


Ni hatari kusema kwa muzaha “Nitamutolea Mungu hiki!” na kuanza kufikiri nyuma ya kufanya naziri ile.


Nitatimizia ahadi zangu kwa Yawe, mbele ya watu wake wote,


Mungu anayetawala tangu milele, atanisikia na kuwafezehesha waadui yangu, maana hawapendi kubadilika, wala hawamwogopi Mungu.


Maana yeye hatupilii au kuzarau taabu ya muzaifu; wala hajifichi mbali naye, lakini anamusikiliza anapomwomba musaada.”


Au, kama mutu akiapa kufanya kitu chochote, chema au kibaya, kama vile watu wanavyofanya bila kufikiri, atakapojua atakuwa na kosa.


Ninamutaja Mungu kuwa mushuhuda wangu, yeye anajua roho yangu! Mimi nilikusudia kutorudia tena Korinto kwa sababu ya kuwasikilia huruma.


Kasirani ya watu inasababisha tu sifa yako; walioponyoka katika vita watafanya sikukuu zako.


Wakaenda kuwaona Makuhani Wakubwa na wasimamizi wa watu na kuwaambia: “Sisi tumefanya kiapo; hatutasubutu kula kitu chochote mpaka tumwue Paulo kwanza.


Munasema vilevile kwamba mutu akiapa akitaja mazabahu, si kitu; lakini kama akiapa akitaja sadaka inayokuwa juu yake, anapaswa kutimiza kiapo chake.


“Ole kwenu, ninyi waongozi vipofu! Ninyi munaosema kwamba mutu akiapa kwa jina la hekalu, si kitu; lakini kama akiapa akitaja zahabu inayokuwa ndani ya hekalu, anapaswa kutimiza kiapo chake.


Nimeapa na kuhakikisha kiapo changu, kwamba nitashika maamuzi yako ya haki.


Ninamutumainia Mungu, wala siogopi. Mutu atanifanya nini?


Nyuma ya miezi miwili akarudi kwao. Kisha baba yake akamutendea kulingana na kiapo chake. Binti huyo hakukuwa amemujua mwanaume yeyote. Basi, tangu wakati ule kukakuwa desturi hii katika Israeli:


Yefuta akafuatana na wazee wa Gileadi, nao watu wakamufanya kiongozi wao. Yefuta akasema masharti yake kule Misipa mbele ya Yawe.


Lakini kiapo au ahadi yoyote mujane aliyoweka au mwanamuke aliyeachana na mume wake ambayo kwa njia yake amejifunga, inapaswa kumufunga.


Hapo, Waisraeli wakamwekea Yawe kiapo wakisema: Kama ukiwatia watu hawa katika mikono yetu, basi tutaangamiza kabisa miji yao.


Usitaje bure jina langu mimi Yawe, Mungu wako, maana mimi Yawe sitaacha kumwazibu yeyote anayetaja bure jina langu.


Muwajengee watoto wenu miji na kondoo wenu mazizi; lakini mufanye kama vile mulivyoahidi.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite