Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Hesabu 30:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Lakini kiapo au ahadi yoyote mujane aliyoweka au mwanamuke aliyeachana na mume wake ambayo kwa njia yake amejifunga, inapaswa kumufunga.

Gade chapit la Kopi




Hesabu 30:10
4 Referans Kwoze  

Lakini kama mume wake akisikia jambo hilo, akimupinga, basi huyo mume wake atavunja kiapo cha muke wake na maneno yale aliyosema bila kufikiri; naye Yawe atamusamehe.


Mwanamuke aliyeolewa akifanya ahadi au kiapo akiwa katika nyumba ya mume wake,


Mume wake Elekana, akamujibu: “Fanya unaloona linafaa. Ngojea mpaka utakapomwachisha mutoto kunyonya. Yawe afanye kiapo chako kuwa kweli.” Basi, Hana alibaki kwake, akaendelea kumulea mutoto wake mpaka alipomwachisha kunyonya.


Kisha Musa akazungumuza na viongozi wa makabila ya Israeli, akawaambia: Hili ndilo neno lililoamriwa na Yawe:


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite