Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Hesabu 3:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

21 Jamaa za Walibuni na Wasimei zilitokana na Gersoni; hizi ndizo zilizokuwa jamaa za Wagersoni.

Gade chapit la Kopi




Hesabu 3:21
9 Referans Kwoze  

Wana wa Merari kwa kufuata jamaa zao: Mali na Musi. Hizi zilikuwa jamaa za Walawi kulingana na ukoo zao.


Hesabu yao kwa kadiri ya hesabu ya wanaume wote kuanzia waliokuwa na mwezi mumoja na zaidi ni elfu saba na mia tano.


pamoja na jamaa za Libini, Hebroni, Mali, Musi na Kora. Kohati alikuwa baba ya Amuramu.


Sasa haya ni majina ya wana wa Lawi na wazao wao: Gersoni, Kohati na Merari. Lawi aliishi miaka mia moja makumi tatu na saba.


Na haya ndiyo majina ya wana wa Gersoni kwa kufuata jamaa zao: Libuni na Simei.


Uhesabu watu wa ukoo wa Gersoni kufuatana na jamaa na ukoo zao;


Watu wa ukoo wa Gersoni wakapewa kwa kura miji kumi na mitatu katika maeneo ya makabila ya Isakari, Aseri, Nafutali na katika eneo la nusu ya kabila la Manase kule Basani.


Walifanya kazi yao ya kuimba mbele ya hema takatifu la mukutano mpaka wakati mufalme Solomono alipojenga hekalu la Yawe kule Yerusalema. Walitumika kazi yao vizuri kufuatana na zamu ya kila kundi.


ukoo wa Lawi peke yake na ukoo wa Simei peke yake.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite