Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Hesabu 3:19 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

19 Wana wa Kohati kwa kufuata jamaa zao: Amuramu, Isihari, Hebroni na Uzieli.

Gade chapit la Kopi




Hesabu 3:19
18 Referans Kwoze  

Wana wa Kohati walikuwa: Amuramu, Izihari, Hebroni na Uzieli. Kohati aliishi miaka mia moja makuni tatu na mitatu.


Hizi ndizo ukoo za wale ambao walifanya kazi hizo: Kutoka ukoo wa Kohati, kulikuwa Hemani, kiongozi wa kundi la kwanza la waimbaji. Hemani alikuwa mwana wa Yoeli, Yoeli wa Samweli, Samweli wa Elekana, Elekana wa Yerohamu, Yerohamu wa Elieli, Elieli wa Toa, Toa wa Zufi, Zufi wa Elekana, Elekana wa Mahati, Mahati wa Amasai, Amasai wa Elekana, Elekana wa Yoeli, Yoeli wa Azaria, Azaria wa Sefania, Sefania wa Tahati, Tahati wa Asiri, Asiri wa Ebiasafu, Ebiasafu wa Kora, Kora wa Izihari, Izihari wa Kohati, Kohati wa Lawi, Lawi wa Israeli.


Wana wa Hemani: Bukia, Matania, Usieli, Sebueli, Yeremoti, Hanania, Hanani, Eliyata, Gidalti, Romamuti-Ezeri, Yosibekasa, Maloti, Hotiri na Mahasioti.


Jamaa za Waamuramu, Waisari, Wahebroni na Wauzieli zilitokana na Kohati; hizi ndizo zilizokuwa jamaa za Wakohati.


Amuramu alimwoa Yokebedi, shangazi yake, naye akamuzalia Haruni na Musa. Amuramu aliishi miaka mia moja makumi tatu na saba.


Na haya ndiyo majina ya wana wa Gersoni kwa kufuata jamaa zao: Libuni na Simei.


Wana wa Merari kwa kufuata jamaa zao: Mali na Musi. Hizi zilikuwa jamaa za Walawi kulingana na ukoo zao.


Walawi hawa wakaanza kazi: wa ukoo wa Kohati: Mahati mwana wa Amasai na Yoeli mwana wa Azaria; wa ukoo wa Merari: Kisi mwana wa Abudi na Azaria mwana wa Yehaleli; wa ukoo wa Gersoni: Yoa mwana wa Zima, na Edeni mwana wa Yoa; wa ukoo wa Elisafani: Simori na Yeneli; wa ukoo wa Hemani: Zakaria na Matania; wa ukoo wa Yedutuni: Semaya na Uzieli.


Sasa haya ni majina ya wana wa Lawi na wazao wao: Gersoni, Kohati na Merari. Lawi aliishi miaka mia moja makumi tatu na saba.


ukoo wa Lawi peke yake na ukoo wa Simei peke yake.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite