Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Hesabu 27:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

13 Ukisha kuiona, utakufa na kukutana na wazee wako, kama vile ndugu yako Haruni alivyokutana nao,

Gade chapit la Kopi




Hesabu 27:13
11 Referans Kwoze  

(Watu wa Israeli wakasafiri kutoka visima vya watu wa Yakani mpaka Musara. Haruni akakufa na kuzikwa kule. Eleazari mwana wake, akatwaa nafasi yake kama vile kuhani.


Uwalipize kisasi Wamidiani mambo waliyowatendea Waisraeli; kisha wewe utakufa.


Kulekule juu ya mulima utakufa na kukutana na wazee wako kama vile kaka yako Haruni alivyokufa katika mulima Hori na kukutana nao,


Kwa agizo la Yawe kuhani Haruni akapanda juu ya mulima Hori, na huko, akakufa katika siku ya kwanza ya mwezi wa tano, mwaka wa makumi ine tangu Waisraeli walipotoka katika inchi ya Misri.


Isimaeli alikuwa na umri wa miaka mia moja makumi tatu na saba alipokufa na kukutana na wazee wake.


Kisha kuishi maisha marefu na ya fanaka, akakufa na kukutana na wazee wake.


Yawe akanikasirikia mimi vilevile kwa sababu yenu, akasema: ‘Hata wewe Musa hautaingia katika inchi hiyo.


Mimi nitakufia katika inchi hii wala sitauvuka muto, lakini ninyi muko karibu kuuvuka na kwenda kurizi inchi ile nzuri.


Yawe akamwambia Musa: “Siku yako ya kuaga dunia imekaribia. Umwite Yoshua, mukuje pamoja katika hema la mukutano kusudi nimupe maagizo.” Basi, Musa na Yoshua wakaenda katika hema la mukutano,


Yawe akamwambia Musa: “Umekaribia sasa kuaga dunia, na kisha kufa kwako, watu wataanza kuniacha na kuendea miungu mingine ya inchi hiyo ambamo watakwenda kuishi. Wataniacha na kuvunja agano nililoagana nao.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite