6 Hesironi na Karmi.
Kwanza ni kabila la Rubeni, muzaliwa wa kwanza wa Yakobo. Hanoki, Palu,
Hizo ndizo ukoo za kabila la Rubeni. Hesabu ya wanaume waliohesabiwa ni elfu makumi ine na tatu, mia saba na makumi tatu.
Kutoka kwa Peresi, jamaa ya Hesironi na Hamuli.
Ninyi mulisema kwamba watoto wenu watakamatwa mateka, lakini mimi nitawafikisha watoto wenu katika inchi muliyoizarau, kusudi waijue na ikuwe makao yao.
wakati wa kuua na wakati wa kuponyesha, wakati wa kubomoa na wakati wa kujenga,