Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Hesabu 26:59 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

59 Muke wa Amuramu aliitwa Yokebedi binti ya Lawi, aliyezaliwa Misri. Huyu alimuzalia Amuramu watoto wawili wanaume, Haruni na Musa, na binti mumoja, Miriamu.

Gade chapit la Kopi




Hesabu 26:59
7 Referans Kwoze  

Amuramu alimwoa Yokebedi, shangazi yake, naye akamuzalia Haruni na Musa. Amuramu aliishi miaka mia moja makumi tatu na saba.


Usilale na shangazi yako, maana huyo ni dada ya baba yako.


Dada ya yule mutoto akajificha karibu na pahali pale kusudi aone yatakayomupata ndugu yake.


Basi nabii Miriamu, dada ya Haruni, akatwaa ngoma katika mukono, na wanawake wengine wote wakamufuata wakiwa na ngoma zao ndogo wakicheza.


Kisha Miriamu na Haruni wakaanza kumusema Musa vibaya kwa sababu ya mwanamuke Mukushi aliyekuwa amemwoa.


Waisraeli wote wakafika katika jangwa la Sinai katika mwezi wa kwanza, wakapiga kambi yao huko Kadesi. Wakiwa huko, Miriamu akakufa na kuzikwa.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite