Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Hesabu 26:29 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

29 Kabila la Manase lilikuwa na jamaa ya: Makiri, Gileadi,

Gade chapit la Kopi




Hesabu 26:29
9 Referans Kwoze  

Watu wa kabila la Manase ambaye alikuwa muzaliwa wa kwanza wa Yosefu, vilevile walipewa eneo lao kwa kura. Makiri, muzaliwa wa kwanza wa Manase baba ya Gileadi, alikwisha kupewa kwa kura miji ya Gileadi na Basani, maana alikuwa hodari katika vita.


Viongozi wa jamaa katika ukoo wa Gileadi mwana wa Makiri, mwana wa Manase mwana wa Yosefu, wakakwenda kuzungumuza na Musa na viongozi wengine wa ukoo za Waisraeli.


Kutoka Efuraimu waliteremuka katika bonde, wakafuata wandugu zao watu wa Benjamina; kutoka Makiri, majemadari walishuka, kutoka Zebuluni, wenye fimbo ya mutawala.


Watu wa ukoo wa Makiri wa kabila la Manase nikawapa Gileadi,


Lakini Israeli akaipishanisha mikono yake: mukono wake wa kuume akauweka juu ya kichwa cha Efuraimu, ingawa alikuwa mudogo na mukono wake wa kushoto akauweka juu ya kichwa cha Manase, aliyekuwa muzaliwa wa kwanza.


Yosefu alijaliwa kuwaona watoto na wajukuu wa mwana wake Efuraimu na vilevile kuwapokea kama wana wake watoto wa Makiri mwana wa Manase.


Hesironi alipokuwa na umri wa miaka makumi sita, akaoa binti ya Makiri, dada ya Gileadi. Huyu akamuzalia mwana jina lake Segubu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite