22 Hizo ndizo ukoo za Yuda, jumla wanaume elfu makumi saba na sita mia tano.
Kwa maana inajulikana wazi kwamba Bwana wetu alitoka katika kabila la Yuda, na juu ya kabila lile Musa hakusema hata neno moja linaloelekea ukuhani.
Yawe awajalie muongezeke; awajalie muongezeke ninyi na wazao wenu!
Ingawa kabila la Yuda ndilo lililokuja kuwa lenye nguvu zaidi kuliko mengine, na watawala walitoka mule, haki ya muzaliwa wa kwanza ilikuwa ya Yosefu).
“Wewe Yuda, wandugu zako watakusifu. Mukono wako utashika shingo la waadui zako, na wandugu zako watainama mbele yako.
Kutoka kwa Peresi, jamaa ya Hesironi na Hamuli.