Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Hesabu 26:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Kabila la Simeoni. Nemueli, Yamini, Yakini,

Gade chapit la Kopi




Hesabu 26:12
8 Referans Kwoze  

Simeoni alikuwa na wana watano: Nemueli, Yamina, Yaribu, Zera na Saulo.


Wana wa Simeoni walikuwa: Yemueli, Yamini, Ohadi, Yakini, Sohari na Sauli. Huyu wa mwisho alikuwa mutoto wa mwanamuke wa Kanana. Hao walikuwa babu za jamaa za Simeoni.


Simeoni na wana wake: Yemueli, Yamini, Ohadi, Yakini, Sohari na Sauli, aliyezaliwa kwa mwanamuke Mukanana.


Hiramu aliziweka nguzo hizo kwenye baraza ya hekalu; nguzo aliyoisimika upande wa kusini iliitwa Yakini, na ile aliyoisimika upande wa kaskazini iliitwa Boazi.


Pamoja na hayo wana wa Kora hawakukufa.


Haya ndiyo majina ya wakubwa wa jamaa za Waisraeli. Wana wa Rubeni, muzaliwa wa kwanza wa Israeli: Hanoki, Palu, Hesironi na Karmi. Hao walikuwa babu za jamaa za Rubeni.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite