Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Hesabu 24:25 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

25 Basi, Balamu akaondoka, akarudi kwake; Balaki vilevile akaenda zake.

Gade chapit la Kopi




Hesabu 24:25
5 Referans Kwoze  

Kati ya watu hao waliouawa, kulikuwa wafalme watano wa Midiani: Ewi, Rekemu, Suri, Huri na Reba. Vilevile wakamwua Balamu mwana wa Beori.


Balamu mwaguzi mwana wa Beori ambaye Waisraeli walimwua alikuwa mumoja wao.


Sasa! Kwenda zako. Nilikuwa nimekuahidi kukupa zawadi nyingi, lakini Yawe hakukujalia kupata zawadi hizo, amekunyima!


Sasa ninarudi kwa watu wangu, lakini mbele sijaondoka, acha nikuambie mambo ambayo watu hao watawatendea watu wako siku zinazokuja.


Waisraeli walipokuwa kule Sitimu, wanaume wakaanza kuzini na wanawake wa Moabu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite