Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Hesabu 24:22 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

22 Lakini mutateketezwa, enyi Wakeni. Mutapelekwa mateka na Asuria mpaka wakati gani?

Gade chapit la Kopi




Hesabu 24:22
8 Referans Kwoze  

Muombe huruma kwake, mumurudilie na kumwambia: Utusamehe uovu wote, upokee zawadi zetu, nasi tutakusifu kwa moyo.


Wagebali, Waamoni na Waamaleki, Wafilistini na wakaaji wa Tiro.


wakamwendea Zerubabeli na viongozi wa ukoo, na kumwambia: “Tafazali tushirikiane katika ujenzi wa hekalu. Sisi kama vile ninyi tunamwabudu Mungu wenu, na tumekuwa tukimutolea sadaka tangu zamani za Esari-Hadoni, mufalme wa Asuria aliyetuleta hapa.”


Wana wa Semu walikuwa Elamu, Asuri, Aripakisadi, Ludi na Aramu.


Kutoka kule, Nimurodi alikwenda Asuria, akajenga miji ya Ninawe, Rehoboti-Iri, Kala na


Semu, mukubwa wa Yafeti, alikuwa baba ya Waebrania wote.


ni kusema inchi za Wakeni, Wakenizi, Wakadimoni,


Tena Balamu akatoa mashairi haya: Ole! Nani ataishi Mungu atakapofanya hayo?


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite