22 Lakini mutateketezwa, enyi Wakeni. Mutapelekwa mateka na Asuria mpaka wakati gani?
Muombe huruma kwake, mumurudilie na kumwambia: Utusamehe uovu wote, upokee zawadi zetu, nasi tutakusifu kwa moyo.
Wagebali, Waamoni na Waamaleki, Wafilistini na wakaaji wa Tiro.
wakamwendea Zerubabeli na viongozi wa ukoo, na kumwambia: “Tafazali tushirikiane katika ujenzi wa hekalu. Sisi kama vile ninyi tunamwabudu Mungu wenu, na tumekuwa tukimutolea sadaka tangu zamani za Esari-Hadoni, mufalme wa Asuria aliyetuleta hapa.”
Wana wa Semu walikuwa Elamu, Asuri, Aripakisadi, Ludi na Aramu.
Kutoka kule, Nimurodi alikwenda Asuria, akajenga miji ya Ninawe, Rehoboti-Iri, Kala na
Semu, mukubwa wa Yafeti, alikuwa baba ya Waebrania wote.
ni kusema inchi za Wakeni, Wakenizi, Wakadimoni,
Tena Balamu akatoa mashairi haya: Ole! Nani ataishi Mungu atakapofanya hayo?