Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Hesabu 24:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Balaki akawaka hasira juu ya Balamu, akapiga mikono kwa kasirani na kumwambia: Nilikuita uwalaani waadui zangu, lakini mara hizi zote tatu umewabariki!

Gade chapit la Kopi




Hesabu 24:10
15 Referans Kwoze  

Wewe mwanadamu, toa unabii useme: Yawe anasema hivi: Upanga! Kweli, upanga umenolewa, nao umeangarishwa vilevile.


Kwa hiyo, Balaki akamwambia Balamu: Umenifanyia nini? Nimekuleta hapa uwalaani waadui zangu, lakini pahali pake umewabariki!


Nimekunja ngumi yangu juu yako kwa sababu ya hiyo faida uliyopata kwa njia isiyokuwa ya haki na kwa mauaji yaliyofanyika kwako.


Wewe mwanadamu, ulie na kuomboleza upanga huo umenyooshwa juu ya watu wangu, juu ya wakubwa wote wa Waisraeli. Wataangamizwa kwa upanga pamoja na watu wangu. Ujipigepige kifua kwa huzuni.


Upepo unamupigia vigelegele anapokimbia, na kumuzomea toka pahali pake.


Kwa sababu watu wa Israeli, walipokuwa wanasafiri toka Misri, wao hawakuwapa chakula wala maji ya kunywa, pahali pake wakamulipa Balamu kwa kuwalaani watu wa Israeli, lakini Mungu wetu akageuza laana yao kuwa baraka.


Nitakupatia heshima kubwa, na chochote utakachoniomba nitakutimizia. Kuja uwalaani watu hawa.


kuna watu wa taifa fulani waliotoka Misri, nao wameenea kila pahali katika inchi. Ameniomba niende kuwalaani watu hao kusudi pengine ataweza kupigana nao na kuwafukuza.


Kuja sasa uwalaani watu hawa kwa ajili yangu maana wana nguvu kuliko mimi. Labda nitaweza kuwashinda na kuwafukuza wasiingie katika inchi yangu, kwa maana unajua kwamba wewe ukimubariki mutu anabarikiwa, ukimulaani mutu analaaniwa.


Atavizia na kulala chini kama simba, nani atasubutu kumwamusha? Abarikiwe yeyote atakayekubariki wewe Israeli, alaaniwe yeyote atakayekulaani.


Sasa! Kwenda zako. Nilikuwa nimekuahidi kukupa zawadi nyingi, lakini Yawe hakukujalia kupata zawadi hizo, amekunyima!


Lakini Yawe, Mungu wenu, hakumusikiliza Balamu; pahali pake laana hiyo iligeuka kuwa baraka, kwa sababu Yawe, Mungu wenu, aliwapenda.


Nayo maneno haya yakasikilika tena mara tatu, kisha vile vitu vyote vikanyanyuliwa mbinguni.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite