Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Hesabu 23:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Yawe akamupa Balamu maneno atakayosema na kumwambia arudi kwa Balaki.

Gade chapit la Kopi




Hesabu 23:5
14 Referans Kwoze  

Kisha Yawe akanyoosha mukono wake, akagusa kinywa changu, akaniambia: Nimetia maneno yangu ndani ya kinywa chako.


Nitawachagulia kati ya wandugu zao wenyewe nabii kama wewe, nitatia maneno yangu ndani ya kinywa chake, naye atawaambia yote nitakayomwamuru.


Yawe anasema: Mimi ninafanya nanyi agano hili: Roho wangu anayekuwa juu yenu, maneno niliyoyaweka katika kinywa chenu, hayataondoka kwenu hata kidogo, wala kwa watoto na wajukuu wenu, tangu sasa na hata milele.


Nimeyaweka maneno yangu katika kinywa chako; nimekuficha katika kivuli cha mukono wangu. Mimi nilizitandaza mbingu, nikaiweka misingi ya dunia. Mimi ninawaambia, enyi watu wa Sayuni: Ninyi ni watu wangu.


Yawe akakutana na Balamu, akamupa maneno atakayosema, na kumwambia arudi kwa Balaki.


(Yeye hakusema maneno haya kutokana na mawazo yake mwenyewe; lakini kwa maana yeye ndiye aliyekuwa Kuhani Mukubwa mwaka ule, alitabiri kwamba Yesu atakufa kwa ajili ya taifa la Wayuda.


kwa sababu Roho Mutakatifu atawafundisha saa ile ile maneno munayopaswa kusema.”


Mutu anaweza kufanya mipango yake, lakini Yawe anaongoza hatua zake.


Mwanadamu anapanga mipango yake, lakini neno la mwisho ni la Yawe.


Lakini malaika wa Yawe akamwambia Balamu: Kwenda na watu hawa, lakini utasema tu kile nitakachokuambia. Basi, Balamu akaendelea na safari pamoja na viongozi wa Balaki.


Basi, Mungu akamufikia Balamu usiku ule, akamwambia: Kama watu hawa wamekuja kukuita, kwenda pamoja nao, lakini fanya tu kile nitakachokuambia.


Wewe utaongea naye na kumwambia yote atakayosema. Mimi nitawasaidia na kuwafundisha mambo mutakayofanya.


Mungu akakutana naye. Balamu akamwambia: Nimetayarisha mazabahu saba na kutoa ngombe dume mumoja na kondoo dume mumoja juu ya kila mazabahu.


Balamu akarudi, akamukuta Balaki akisimama palepale karibu na sadaka yake ya kuteketezwa kwa moto, pamoja na wakubwa wote wa Moabu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite