Hesabu 23:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200213 Kisha, Balaki akamwambia Balamu: Tuende pahali pengine ambapo utaweza kuwaona; hata hivyo utaona tu sehemu yao, hautaweza kuwaona wote. Kisha uwalaani kutoka huko kwa ajili yangu. Gade chapit la |