Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Hesabu 21:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Mufalme mumoja Mukanana wa Aradi aliyeishi kule Negebu alipopata habari kwamba Waisraeli walikuwa wanakuja kwa njia ya Atarimu, akakwenda kuwashambulia na kuwateka wamoja kati yao.

Gade chapit la Kopi




Hesabu 21:1
10 Referans Kwoze  

Wazao wa Keni ambaye alikuwa baba mukwe wa Musa, walifuatana na watu wa kabila la Yuda kutokea Muji wa Miti ya Ngazi, ni kusema muji wa Yeriko, mpaka jangwa la Yuda karibu na Aradi, wakafanya makao yao kule pamoja na watu wa Yuda.


Mufalme wa Aradi, Mukanana, aliyekaa Negebu katika inchi ya Kanana akapata habari kwamba Waisraeli walikuwa wanakuja.


mufalme wa Horma, mufalme wa Aradi,


Watu wa Ai wakawaua Waisraeli makumi tatu na sita na kuwafukuza wengine kutoka mulango wa muji mpaka Sebarimu, wakawaua kwenye muteremuko. Waisraeli wakavunjika moyo na kuregea kama maji.


Kisha Sihoni akatoka na watu wake wote kupigana nasi karibu na muji wa Yahasa.


Halafu Waamaleki na Wakanana, waliokuwa wakiishi katika inchi hiyo ya milima, wakashuka, wakawashambulia na kuwashinda. Wakawafukuza mpaka muji wa Horma.


Kisha Abramu akaendelea kusafiri kuelekea upande wa Negebu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite