Hesabu 20:25 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200225 Umutwae Haruni na mwana wake Eleazari, uwalete juu ya mulima Hori. Gade chapit la |
Kisha Musa akamwambia Haruni na wana wake, Eleazari na Itamari: Musivuruge nywele zenu wala musipasue nguo zenu kwa kuomboleza, kama sivyo mutakufa na kuwaletea Waisraeli wote pamoja kasirani ya Yawe. Lakini wandugu zenu, ni kusema jamii yote ya Israeli, wanaweza kuomboleza kwa sababu ya moto huo Yawe alioleta.