Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Hesabu 20:19 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

19 Waisraeli wakamwambia: Sisi tutafuata njia kubwa; kama sisi na mifugo yetu tukikunywa maji yenu, tutalipa. Tunachoomba tafazali uturuhusu tu, tupite kwa miguu wala hatutaki neno lolote lingine.

Gade chapit la Kopi




Hesabu 20:19
4 Referans Kwoze  

Chakula chetu tutakinunua kwako na maji ya kunywa vilevile. Tunachoomba tu ni ruhusa ya kupita kwa miguu katika inchi yako,


Mukitaka chakula au maji kutoka kwao, munapaswa kununua.’


Kulikuwa vilevile kundi la watu wengine waliokwenda pamoja nao na mifugo mingi, kondoo na ngombe.


Wale ngombe walikwenda moja kwa moja kuelekea muji wa Beti-Semesi bila kupinda kushoto au kuume, walikuwa wanalia walipokuwa wanakwenda. Wale wafalme watano wa Wafilistini waliwafuata mpaka kwenye mupaka wa Beti-Semesi.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite