Hesabu 20:19 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200219 Waisraeli wakamwambia: Sisi tutafuata njia kubwa; kama sisi na mifugo yetu tukikunywa maji yenu, tutalipa. Tunachoomba tafazali uturuhusu tu, tupite kwa miguu wala hatutaki neno lolote lingine. Gade chapit la |