Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Hesabu 19:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Halafu kuhani atatwaa muti wa mwerezi, hisopo na sufu nyekundu na kuvitia katika moto huo.

Gade chapit la Kopi




Hesabu 19:6
6 Referans Kwoze  

basi, kuhani ataamuru watu walete ndege wawili safi wanaokuwa wazima, kipande cha muti wa mwerezi, sufu ya rangi nyekundu na tawi la hisopo kwa ajili ya yule mutu atakayetakaswa.


Mimi ni mukosaji tangia kuzaliwa kwangu, mwenye zambi tangia tumbo la mama yangu.


Kwa kutakasa nyumba hiyo, mwenye nyumba ataleta ndege wawili pamoja na kipande cha muti wa mwerezi, sufu nyekundu na tawi la hisopo.


Kuhani atatwaa yule ndege mwingine muzima, kipande kile cha mwerezi, sufu ya rangi nyekundu na lile tawi la hisopo na kuvitumbukiza vyote katika damu ya yule ndege aliyechinjwa.


Yawe anasema hivi: Mukuje basi, tukate shauri. Zambi zenu zikionekana kuwa nyekundu, zitakuwa nyeupe kama teluji; zikionekana kuwa nyekundu sana, zitakuwa nyeupe kama sufu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite