Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Hesabu 19:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Mutu yeyote akigusa mwili wa mutu aliyeuawa au aliyekufa kifo cha kawaida inje ya nyumba, au akigusa mufupa wa mutu au kaburi, atakuwa muchafu kwa siku saba.

Gade chapit la Kopi




Hesabu 19:16
12 Referans Kwoze  

“Ole kwenu, ninyi walimu wa Sheria na Wafarisayo, ninyi wanafiki! Munafanana na makaburi yaliyopakaliwa chokaa, yanayoonekana kuwa mazuri kwa inje, lakini ndani yanajaa mifupa ya wafu na uchafu wa kila namna.


Wote wale wanaokuwa kati yenu ambao wameua mutu au kugusa maiti wanapaswa kukaa inje ya kambi kwa muda wa siku saba; mujitakase pamoja na mateka wenu katika siku ya tatu na ya saba.


Ole kwenu! Munafanana na makaburi yasiyoonekana wazi ambayo watu wanatembea juu yao pasipo kujua.”


Mutu akigusa maiti ya mutu yeyote, atakuwa muchafu kwa siku saba.


Kila chombo kinachokuwa wazi ambacho hakina kifuniko juu yake kitakuwa kichafu.


Muondoke! Muondoke! Mutoke pale! Musiguse kitu chochote kichafu! Muondoke kule Babeli! Mujitakase, enyi munaobeba vyombo vya Yawe.


Yawe akamwambia Musa: Uwaambie makuhani, wana wa Haruni, kwamba kusikuwe mutu yeyote kati yao atakayejichafua kwa kugusa maiti ya watu wa jamaa yake,


Uwaamuru Waisraeli wamutoe inje ya kambi kila mutu mwenye ukoma, kila mutu anayetokwa usaha, na kila anayekuwa muchafu kwa kugusa maiti.


Siku zote atakazokuwa amejitakasa kwa Yawe, mutu huyo asikaribie maiti,


Lakini, watu wamoja waliokuwa pale walikuwa hawawezi kushiriki sikukuu hiyo ya Pasaka kwa sababu walikuwa wamegusa maiti, wakakuwa wachafu. Hao waliwaendea Musa na Haruni,


Mumoja wao akijichafua, atakaa na hali hiyo kwa muda wa siku saba. Kisha atakuwa safi.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite