Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Hesabu 19:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

15 Kila chombo kinachokuwa wazi ambacho hakina kifuniko juu yake kitakuwa kichafu.

Gade chapit la Kopi




Hesabu 19:15
6 Referans Kwoze  

Kuhani ataamuru vitu vyote ndani ya nyumba hiyo viondoshwe mbele yeye mwenyewe hajaanza uchunguzi wa taka lile, visipate vyote kutangazwa kuwa vichafu. Kisha kuhani ataingia kwa kuiangalia nyumba hiyo.


Ikiwa muzoga wa viumbe hao unaangukia kitu chochote, kikuwe ni kifaa cha mbao au nguo au ngozi au gunia au chombo chochote kinachotumiwa kwa kazi yoyote, chombo hicho kitakuwa kichafu mpaka magaribi. Kwa kukifanya kikuwe safi kinapaswa kusafishwa kwa maji.


Munapaswa kutakasa vilevile kila nguo, kila kitu kilichotengenezwa kwa ngozi, kwa manyoya ya kondoo au kwa muti.


Na hii ndiyo sheria ya kufuatwa kama mutu akikufia ndani ya hema: Kila mutu atakayeingia ndani ya hema hilo, au aliyekuwa ndani ya hema hilo, atakuwa muchafu kwa siku saba.


Mutu yeyote akigusa mwili wa mutu aliyeuawa au aliyekufa kifo cha kawaida inje ya nyumba, au akigusa mufupa wa mutu au kaburi, atakuwa muchafu kwa siku saba.


Ikiwa muzoga wake umeangukia chombo cha udongo, basi, kitu chochote kilicho ndani ya chombo hicho ni kichafu na chombo hicho kinapaswa kuvunjwa.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite