Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Hesabu 11:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Mana ilikuwa kama mbegu ndogo zenye rangi ya kimanjano.

Gade chapit la Kopi




Hesabu 11:7
7 Referans Kwoze  

Waisraeli wakaita chakula hicho “Mana.” Kilikuwa kama mbegu za mutama mweupe na onjo yake ilikuwa kama mukate mwembamba uliotiwa asali.


Zahabu ya inchi hiyo ni safi kabisa. Kule vilevile kuna marasi ya bedola na mawe mazuri ya sohamu.


“Mwenye kuwa na masikio, asikie vizuri vile Roho anavyoyaambia makanisa! “Yule atakayeshinda, nitamupa ile mana iliyofichwa. Na nitamupa vilevile jiwe dogo jeupe, na juu yake kumeandikwa jina jipya ambalo hakuna mutu yeyote anayelijua, isipokuwa tu yule anayelipewa.


Watu walizungukazunguka na kuikusanya, kisha waliisaga kwa mawe ya kusagia au waliitwanga katika vinu, halafu waliitokotesha ndani ya vyungu na kutengeneza maandazi. Onjo yake ilikuwa kama ya maandazi yaliyokaangwa kwa mafuta.


Musa akawaambia: “Hii ndiyo amri ya Yawe. Kesho ni siku ya mapumziko. Ni Sabato takatifu ya Yawe. Basi, muende mupike au kuchemusha kile chakula munachohitaji leo na chakula kitakachobakia mukiweke mpaka kesho.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite