Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Hesabu 11:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Lakini sasa nguvu zimetuishia na hakuna chakula kingine isipokuwa hii mana tu!

Gade chapit la Kopi




Hesabu 11:6
3 Referans Kwoze  

Basi, wakaanza kumunungunikia Mungu na Musa, wakisema: Kwa nini mumetutoa Misri tukuje tukufie humu katika jangwa? Humu hamuna chakula wala maji; nasi tumechokeshwa na chakula hiki cha bure.


Yonadabu akamwambia Amunoni: “Wewe ni mutoto wa mufalme, kwa nini unakonda na unaonekana hauna furaha kila siku? Mbona hautaki kuniambia?” Amunoni akamwambia: “Ninamupenda Tamari, dada ya ndugu yangu Abusaloma.”


Lakini tangu tulipoacha kumufukizia malkia wa mbinguni ubani na sadaka ya kinywaji, tumekosewa kila kitu, na tumeangamizwa kwa vita na njaa.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite