Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Hesabu 10:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Wazao wa Haruni, makuhani, ndio watakaopiga baragumu hizo. Utaratibu huo utakuwa sharti la kufuata siku zote katika vizazi vyenu vyote.

Gade chapit la Kopi




Hesabu 10:8
5 Referans Kwoze  

Sebania, Yosafati, Netaneli, Amasai, Zekaria, Benaya na Eliezeri, waliokuwa makuhani, waliwekwa kwa kupiga baragumu mbele ya Sanduku la Agano. Obedi-Edomu na Yehiya waliwekwa vilevile kuwa walinzi wa sanduku.


Musa akawapeleka kwa vita chini ya uongozi wa Finehasi mwana wa kuhani Eleazari, akiwa na vyombo vya Pahali Patakatifu na baragumu za kutoa kitambulisho.


nao makuhani Benania na Yaharieli, wakachaguliwa wakuwe wakipiga baragumu kwa mufululizo mbele ya Sanduku la Agano la Mungu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite