Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Hagai 2:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Feza na zahabu yote katika dunia ni mali yangu. –Ni ujumbe wa Yawe.

Gade chapit la Kopi




Hagai 2:8
7 Referans Kwoze  

Zaburi ya Daudi. Dunia na vyote vinavyokuwa ndani yake ni vya Yawe; ulimwengu na wote wanaoishi ndani yake ni mali yake.


Pahali pa shaba nitakuletea zahabu, pahali pa chuma nitakuletea feza, pahali pa miti, nitakuletea shaba, na pahali pa mawe nitakuletea chuma. Amani itatawala juu yako, haki itakuongoza.


Utaletewa utukufu wa pori ya Lebanoni: mbao za shindano, mivinje na misunobari, zitumike kwa kupamba kiwanja cha hekalu langu; nami nitaleta utukufu hapo ninapokaa.


Nani aliyenipa kitu, kusudi nipate kumurudishia? Chochote kinachokuwa chini ya mbingu ni changu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite