Hagai 2:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20023 Ni nani kati yenu anayekumbuka jinsi nyumba hii ilivyokuwa yenye utukufu? Sasa munaiona namna gani? Bila shaka sasa munaiona kama si kitu. Gade chapit la |
Daudi akajisemesha: “Nyumba ambayo mwana wangu Solomono atakayomujengea Yawe itakuwa nzuri sana, ya kusifiwa na tukufu katika dunia yote. Lakini kwa vile yeye bado angali kijana na bado hana maarifa mengi, afazali nimufanyie matayarisho.” Hivyo basi, Daudi akaweka akiba kubwa sana ya vitu vya kujenga mbele ya kufa kwake.