Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Filemono 1:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Kwa sababu hii, ingawa ninakuwa na mamlaka niliyopewa na Kristo kukuagiza neno unalopaswa kufanya,

Gade chapit la Kopi




Filemono 1:8
7 Referans Kwoze  

Hatukutafuta sifa ya watu wala yenu, wala ya mutu mwingine yeyote,


Kwa maana sioni haya hata kama nimejivuna zaidi kwa ajili ya uwezo Bwana aliotupatia sisi. Kwa maana uwezo ule ni kwa ajili ya kuwajenga katika imani, lakini si wa kubomoa.


Na kwa sababu tunakuwa na tumaini lile, sisi tunasema kwa uhodari.


Kama vile munavyojua, mbele ya kufika kwenu tuliteswa na kutukaniwa kwanza katika muji Filipi. Lakini ingawa tulipata vizuizo vingi, Mungu alitupatia uhodari wa kuwapasha ninyi Habari yake Njema.


Vilevile kusisikilike maneno ya matusi ya ovyo ovyo wala machafu, kwa maana hayana mafaa. Kinachofaa ni kumushukuru Mungu.


Ninasikia haya ya kuisema: tumekuwa zaifu kwa kufanya vile! Lakini kama watu wengine wanasubutu kujivuna juu ya kitu chochote, mimi vilevile nitajivuna. Sasa ninasema kama vile mupumbafu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite