25 Ninawatakia ninyi wote neema kutoka kwa Bwana wetu Yesu Kristo.
Bwana akulinde. Ninawatakia neema kutoka kwa Mungu.
Wandugu, ninawatakia ninyi wote neema kutoka kwa Bwana wetu Yesu Kristo. Amina.
Gayo, aliyenikaribisha na anayekaribisha kanisa zima kwa kukusanyika kwake, anawasalimia. Erasto, mulinzi wa mali ya muji, pamoja na ndugu yetu Kwarto, wanawasalimia. [
Mungu, anayeleta amani, atamupondaponda sasa hivi Shetani chini ya miguu yenu. Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo ikuwe pamoja nanyi.