Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Ezra 7:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 mwana wa Salumu mwana wa Zadoki mwana wa Ahitubu

Gade chapit la Kopi




Ezra 7:2
4 Referans Kwoze  

Mufalme akamuweka Benaya mwana wa Yehoyada kuwa jemadari wa kundi la waaskari kwa pahali pa Yoabu, na Zadoki akakuwa kuhani pahali pa Abiatari.


Zadoki mwana wa Ahitubu na Ahimeleki mwana wa Abiatari walikuwa makuhani. Seraya alikuwa katibu.


Nyuma ya mambo yale, wakati wa utawala wa mufalme Artasasta wa Persia, kulikuwa mutu mumoja aliyeitwa Ezra. Ezra alikuwa mwana wa Seraya mwana wa Azaria mwana wa Hilkia


mwana wa Amaria mwana wa Azaria mwana wa Merayoti


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite