Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Ezra 10:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Watu wote wakasema kwa sauti na kujibu kwa pamoja: “Ni sawa! Tunapaswa kufanya kama vile unavyosema.”

Gade chapit la Kopi




Ezra 10:12
6 Referans Kwoze  

Lakini waligeuka na kufanya mabaya kama babu zao; wakayumbayumba kama upinde usiokuwa imara.


Hawakuambatana naye kwa moyo, hawakukuwa waaminifu kwa agano lake.


Tena wakati ule nikaona Wayuda waliooa wanawake toka Asidodi, Amoni na Moabu;


Sasa, mutubu zambi zenu mbele ya Yawe, Mungu wa babu zenu, na kufanya yale yanayomupendeza. Mujitenge na wakaaji wa inchi hii na kuwaacha wake zenu wa kigeni.”


Lakini wakaongeza kusema: “Watu ni wengi na mvua inanyesha sana. Hatuwezi kuendelea kusimama hapa katika kiwanja, na hili si jambo ambalo litamalizika kwa siku moja au mbili! Tumefanya kosa kubwa sana juu ya shauri hili.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite