Ezekieli 1:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20024 Nilipoangalia niliona upepo wa zoruba unavuma kutokea upande wa kaskazini: kulikuwa wingu kubwa lililozungukwa na mwangaza, na moto ulitokea humo mufululizo na katikati ya huo moto kulikuwa kitu kinachometameta kama shaba. Gade chapit la |