12 Popote roho alipotaka kwenda, ndiko vilikwenda; kila kimoja kilikwenda mbele moja kwa moja pasipo kugeuka.
Incha za mabawa yao ziligusana kila bawa na bawa lingine. Vilipotembea, vilikwenda mbele moja kwa moja pasipo kugeuka.
Malaika ni nini, basi? Wao wote ni roho wanaomutumikia Mungu na wanaotumwa naye kwa ajili ya faida ya wale wanaopaswa kuokolewa.
Vilevile nilizitambua nyuso zao: zilikuwa zilezile nilizokuwa nimeziona kule kwenye muto Kebari. Kila kiumbe kilikwenda mbele, moja kwa moja.
Yalipotembea yalikwenda kwa pande zote ine pasipo kugeuka yanapokwenda.