Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Esteri 6:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Basi, Hamani akamujibu mufalme: “Mutu huyo ambaye mufalme angependa kumupatia heshima,

Gade chapit la Kopi




Esteri 6:7
4 Referans Kwoze  

Basi, Hamani akatwaa nguo zile na kumuvalisha Mordekayi, akamutembeza kwenye kiwanja cha muji akiwa juu ya farasi wa mufalme, naye akitangaza: “Hivi ndivyo anavyotendewa mutu ambaye mufalme amependa kumupa heshima.”


na mumoja wa washauri wako wa kuheshimika ee mufalme amuvalishe mutu yule nguo hizo za kifalme, na kumwongoza mutu yule akiwa amepanda juu ya farasi wako mpaka kwenye kiwanja cha muji, naye akitangaza: ‘Hivi ndivyo anavyotendewa mutu ambaye mufalme amependa kumupa heshima.’ ”


Hamani alipoingia ndani, mufalme akamwuliza: “Nimufanyie nini mutu ambaye ningependa sana kumupatia heshima?” Hamani akafikiri ndani ya moyo wake: “Ni nani huyo ambaye mufalme angependa kumupatia sana heshima? Bila shaka ni mimi.”


inafaa watumishi wa mufalme walete nguo safi ya kitani mufalme aliyovaa na farasi wake mwenyewe,


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite