Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Esteri 5:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Kama nimepata kukubaliwa mbele yako, ewe mufalme, na ikikupendeza kukubali ombi langu, basi, ninaomba wewe na Hamani mukuje kesho kwenye karamu nyingine nitakayowaandalia. Wakati huo nitakujulisha ombi langu.”

Gade chapit la Kopi




Esteri 5:8
8 Referans Kwoze  

Mutu anaweza kufanya mipango yake, lakini Yawe anaongoza hatua zake.


Malkia Esteri akamujibu: “Kama nimepata kukubaliwa mbele yako, ewe mufalme, na ikikupendeza kunitimizia ombi langu, hitaji yangu ni mimi niishi na watu wangu vilevile.


“Ikikupendeza, ewe mufalme, na kama nimepata kukubaliwa mbele yako, ukiona ni vizuri nami nikikupendeza, tafazali, toa tangazo la kuvunja mipango ambayo Hamani alikuwa ameamuru itimizwe. Mipango hiyo ni ile ya mwana wa Hamedata, wa uzao wa Agagi, aliyopanga kwa kuwaangamiza Wayuda wote katika majimbo yote.


Esteri akamujibu: “Ombi langu ni hili:


Hamani akaendelea kujitapa: “Vilevile malkia Esteri hakumwalika mutu mwingine yeyote pamoja na mufalme isipokuwa mimi tu. Hata kesho tena, ametualika mimi na mufalme.


Wakati uleule, malkia Vashiti naye akawaandalia wanawake karamu ndani ya nyumba ya kifalme ya Ahasuero.


Na hivi mufalme na Hamani wakaenda kula karamu na malkia Esteri.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite