Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Esteri 5:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Hapo mufalme akauliza: “Unataka nini Esteri? Uniambie unachotaka, nawe utapata – hata kama ni nusu ya ufalme wangu.”

Gade chapit la Kopi




Esteri 5:3
11 Referans Kwoze  

Kisha akamwapia, akisema: “Nitakupa chochote utakachoniomba, hata ikiwa nusu ya ufalme wangu.”


Katika siku ya pili, walipokuwa wanakunywa divai, mufalme akamwuliza tena Esteri: “Sasa, malkia Esteri, unataka nini? Uniambie, nawe utapata. Ombi lako ni nini? Hata kama ni nusu ya ufalme wangu, utapewa.”


Halafu mufalme akamwambia malkia Esteri: “Katika muji mukubwa peke yake Wayuda wamewaua watu mia tano, pamoja na wana kumi wa Hamani. Unafikiri wamefanya nini kule katika majimbo! Unataka nini sasa? Maana utatimiziwa. Uniambie, unataka nini zaidi, nawe utapewa.”


Walipokuwa wanakunywa divai, mufalme akamwuliza tena Esteri: “Unataka nini? Uniambie, nawe utapata. Ombi lako ni nini? Hata kama ni nusu ya ufalme wangu, utapewa.”


Kule Gibeoni, Yawe alimutokea Solomono katika ndoto usiku, akamwambia: “Omba kitu chochote unachotaka nami nitakupa.”


Batiseba akasema: “Nina ombi dogo tafazali ulikubali, na ninakuomba usinikatalie.” Mufalme akamwambia: “Sema ombi lako mama yangu, kwa sababu sitakukatalia.”


“Unataka nikufanyie nini?” Akamujibu: “Bwana, ninataka nipate kuona.”


Esteri akamujibu: “Ikikupendeza, ewe mufalme, ukuje leo pamoja na Hamani, kwenye karamu ninayotayarisha kwa ajili yako, mufalme.”


Halafu mufalme Artasasta akanijibu: “Sasa unaomba nini?” Nikamwomba Mungu wa mbinguni.


Jemadari akamushika yule kijana mukono akaenda naye pembeni na kumwuliza: “Uko na habari gani ya kuniambia?”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite