Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Esteri 4:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Basi, akamwita Hataki, mumoja wa matowashi wa mufalme aliyechaguliwa na mufalme amutumikie Esteri, akamutuma kwa Mordekayi kuuliza maneno na maana ya tukio hilo.

Gade chapit la Kopi




Esteri 4:5
10 Referans Kwoze  

Kwa maana tuko na Kuhani Mukubwa asiyekosa kujua mwenyewe uzaifu wetu. Maana yeye alijaribiwa katika njia zote sawasawa na sisi, lakini hakufanya zambi.


Kama kiungo kimoja kikiumia, viungo vingine vyote vinaugua pamoja nacho. Kiungo kimoja kikiheshimiwa, viungo vingine vyote vinafurahi pamoja nacho.


Mufurahi pamoja na wenye kufurahi. Mulie pamoja na wenye kulia.


Lakini Vashiti akakataa kufika kwa amri mufalme aliyotoa kwa njia ya matowashi. Kwa hiyo, mufalme akakasirika sana na hasira yake ikawaka.


Siku ya saba ya karamu hiyo, mufalme Ahasuero akiwa amejaa furaha kutokana na divai aliyokuwa amekunywa, akawaita matowashi saba waliomutumikia yeye mwenyewe: Mehumani, Bizita, Harbona, Bigita, Abagita, Zetari na Karkasi.


Kila mutu asitafute faida yake mwenyewe, lakini atafute faida ya watu wengine.


Malkia Esteri alipoarifiwa na matowashi na wajakazi wake habari za Mordekayi akahuzunika sana. Akamupelekea Mordekayi nguo za kuvaa kwa pahali pa nguo ya gunia, lakini Mordekayi akazikataa.


Hataki akamwendea Mordekayi katika uwanja, mbele ya mulango wa nyumba ya kifalme.


Hataki akaenda akamwelezea Esteri maneno yote Mordekayi aliyosema.


Naye Esteri akamwambia Hataki arudie amwambie Mordekayi:


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite