Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Esteri 2:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Basi, watumishi wake, waliokuwa wanamutumikia yeye peke yake, wakamushauria: “Wamutafutie mufalme wabinti wazuri ambao ni mabikira.

Gade chapit la Kopi




Esteri 2:2
6 Referans Kwoze  

Kwa hivyo, wakamwambia: “Bwana wetu mufalme, afazali tukutafutie binti akutumikie na kukutunza; alale pamoja nawe kusudi akupatie joto.”


Walipokuwa bado wanaongea juu ya hayo, matowashi wa mufalme wakafika kumutwaa Hamani kwenda kwenye karamu ya Esteri.


Washauri wake wa kawaida walikuwa Karsena, Setari, Adimata, Tarsisi, Maresi, Marsena na Memukani – viongozi saba wa Persia na Media waliokuwa na vyeo vya juu kabisa katika utawala wake.


Siku ya saba ya karamu hiyo, mufalme Ahasuero akiwa amejaa furaha kutokana na divai aliyokuwa amekunywa, akawaita matowashi saba waliomutumikia yeye mwenyewe: Mehumani, Bizita, Harbona, Bigita, Abagita, Zetari na Karkasi.


Basi, Abramu alipofika Misri, wenyeji wa kule wakaona kwamba Sarai ni mwanamuke muzuri sana.


Mufalme achague wakubwa katika kila jimbo la utawala wake, na kuwaagiza wawalete wabinti wote wazuri ambao ni mabikira kwenye nyumba ya wanawake hapa Susani, muji mukubwa. Halafu wawekwe chini ya uangalizi wa Hegayi, towashi mwangalizi wa wanawake wako; na hapo wapewe mafuta na vifaa vingine kusudi wajipambe zaidi.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite