Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Esteri 2:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Esteri alikuwa hajatambulisha ukoo wala kabila lake, maana Mordekayi alikuwa amemwonya asifanye hivyo.

Gade chapit la Kopi




Esteri 2:10
9 Referans Kwoze  

“Muangalie! Ninawatuma kama kondoo katikati ya imbwa wa pori. Basi mukuwe waangalifu kama nyoka na wakamilifu kama njiwa.


Esteri alikuwa bado hajatambulisha ukoo wala kabila lake kama vile Mordekayi alivyokuwa amemwonya asifanye. Naye Esteri akamutii kama alivyokuwa akimutii wakati wa utoto wake, alipolelewa naye.


Ninyi watoto muwatii wazazi wenu mbele ya Bwana, kwa maana vile ndivyo inavyostahili.


Basi, Hamani akamwambia mufalme: “Kuna watu wa taifa moja wanaokuwa kila nafasi katika utawala wako, nao wako katika kila jimbo. Watu hao wana sheria zinazokuwa tofauti kabisa na za watu wengine. Vilevile, wao hawazitii sheria zako, kwa hiyo haikufaidii kwa kitu chochote kuwavumilia.


Maana, mimi na watu wangu tumeuzishwa kusudi tuuawe, tuangamizwe na kuteketezwa kabisa. Kama tungeuzishwa tu kuwa watumwa na wajakazi, ningekaa kimya wala nisingekusumbua. Ingawa tutateswa hakuna adui atakayeweza kulipa hasara hii kwa mufalme.”


Alikuwa anamulea binamu yake Hadasa ndiye Esteri. Esteri alikuwa binti muzuri wa sura na umbo. Wazazi wake walipokufa, Mordekayi akamutwaa Esteri, akamulea kama binti yake.


Kila siku Mordekayi alipitapita mbele ya kiwanja cha nyumba hiyo ya wanawake kusudi apate kujua hali ya Esteri na mambo ambayo yangemupata.


Kwa hiyo, Ruta akakwenda kule katika kiwanja cha kupepetea, akafanya jinsi mama mukwe wake alivyomwamuru.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite